Matokeo Ya Mtihani Darasa la Saba 2015/2016 Updated

Matokeo ya darasa la saba PSLE NECTA 2015/2016 Yametoka, matokeo la saba 2015/2016, Matokeo std vii 2016, Pata matokeo darasa la saba 2015/2016, Matokeo ya darasa la saba Yatolewa, Matokeo ya mtihani darasa la saba 2015

Baraza la Mitihani Tanzania - NECTA limetangaza matokeo ya mitihani ya darasa la saba iliyofanyika September 9 na 10 mwaka huu ambapo mikoa ya kanda ya ziwa imefanya vizuri ikilinganishwa na mikoa mingine nchini. Katibu Mtendaji wa Baraza hilo Dk. Charles Msonde amesema jijini Dar es salaam kuwa  jumla ya watahiniwa 51,8034 kati ya 76,3602 wamefaulu sawa na asilimia 67.84, ambapo kati yao wasichana wamefaulu kwa asilimia 64.60 na wavulana asilimia 71.58 huku kiwango hicho cha kikiongezeka kwa asilimia 10.85 ukilinganisha na ufaulu wa mwaka jana wa asilimia 56.99.

Matokeo Ya Mtihani Darasa la Saba 2015/2016 Updated


Dk. Monde amezitaja shule zilizofanikiwa kuingia kumi bora kitaifa mwaka huu ni pamoja na shule ya Waja Springs ya Geita iliyoshika nafasi ya kwanza ikifuatiwa na Enyamai ya Mara na Twibhoki pia ya Mara katika nafasi ya tatu huku zikifuatiwa na shule nyingine 7 zote kutoka mikoa ya kanda ya ziwa. Shule ya Mwashigini ya mkoani shinyanga imetajwa kushika nafasi ya mwisho.  Katika hatua nyingine Dk. Msonde amezungumzia pia kukamilika kwa maandalizi ya mitihani ya kidato cha nne ambayo itafanyika kuanzia nov mbili hadi 27 mwaka huu na kuwataka wasimamizi pamoja na watahiniwa kujiepusha na vitendo vya udanganyifu ili kuepuka kufutiwa mitihani hiyo. Kwa kuwa mitihani hiyo inafanyika tanzania bara na visiwani Dk Msonde amewatoa hofu watahiniwa wa Zanzibar ambako kuna hofu ya uvunjifu wa amani kutokana na masuala ya kisiasa kuwa mitihani hiyo itaendelea kama kawaida kwani suala la ulinzi limeimarishwa. 

BOFYA jina la Mkoa kupata matokeo yakeARUSHADAR ES SALAAMDODOMAIRINGAKAGERAKIGOMAKILIMANJAROLINDIMARAMBEYAMOROGOROMTWARAMWANZAPWANIRUKWARUVUMASHINYANGASINGIDATABORATANGAMANYARAGEITAKATAVINJOMBESIMIYU



MATOKEO YA DRS 7  2016/2017 - Have been published by NECTA, STD 7 RESULTS 2016 Tanzania.


Matokeo Ya Darasa la saba 2016 - STD Seven Exams Results 2016 - NECTA

                                                                        OR

Matokeo Darasa la Saba, PSLE 2016 - NECTA Class Seven Results 2016 

Matokeo Darasa la Saba 2015 (PSLE 2015) - NECTA Class Seven Results 2015

OR

Matokeo Darasa la Saba 2015 (PSLE 2015) - NECTA Class Seven Results 2015

Matokeo Darasa la Saba 2014, PSLE 2014 - NECTA Class Seven Results 2014

OR

Matokeo Darasa la Saba 2014, PSLE 2014 - NECTA Class Seven Results 2014


Bofia Hapa - Matokeo Darasa La Saba, PSLE-2013 Examination Results - NECTA Class Seven Results - NECTA

Matokeo Ya Kidato Cha Nne 2016/2017 - Form Four (CSEE) Results 2016/2017

Matokeo ya kidato cha nne 2016/2015, Matokeo ya kidato cha nne 2016/2017, Matokeo ya form four Results 2016/2017 - Are Out!

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2016/2017
Matokeo Ya Mitihani Kidato Cha Nne 2016/2017, Matokeo Ya Form Four 2017/2018.
Matokeo ya kidato cha nne 2016 na 2017

Matokeo Ya Kidato Cha Nne 2016/2017


Matokeo ya NECTA 2016, NECTA Results, Necta Form Four Results 2016/2017, NECTA CSEE Results, Form Four Results, Matokeo NECTA,  Matokeo ya kidato cha nne, Matokeo.

PATA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2017 NA MIAKA YOTE - HAYA HAPA!


                                         AU





                                         AU 


                                         AU                                      


                                         AU 


                                         AU


                                         AU


                                          AU


OTHER EXAMINATION RESULTS 



PATA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2016/2017  - NECTA 2017 Tanzania

matokeo csee 2017


MATOKEO YA Darasa la nne, MATOKEO YA Darasa la saba, MATOKEO YA Kidato cha pili, MATOKEO YA Kidato cha nne, MATOKEO YA Kidato cha sita - Baraza La Mitihani Tanzania - The National Examination Council Of Tanzania (NECTA) - Updated, NECTA TANZANIA.

Kidato cha sita Waliochaguliwa Kujiunga NA JKT 2016

Kidato cha sita waliochaguliwa kujiunga na jkt 2016, Form six selected to join jkt 2016, Vijana wa kidato cha sita waliochaguliwa kujiunga na jkt 2016, jkt 2016, mufunzo ya jkt 2016, kujiunga na jkt Tanzania 2016. 


Kidato cha sita Waliochaguliwa Kujiunga NA JKT 2016


KIDATO CHA SITA (FORM SIX) KUJIUNGA NA JKT 2016

TANGAZO MUHIMU KWA VIJANA WALIOMALIZA KIDATO CHA SITA MEI 2016

Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), limechagua vijana waliohitimu elimu ya sekondari kidato cha sita (Form six) kwa mwaka 2016, kutoka shule zote za Tanzania Bara kuhudhuria mafunzo ya JKT kwa Mujibu wa Sheria.
Sanjari na uchaguzi huo, JKT limewapangia makambi watakayokwenda kupatiwa mafunzo kwa muda wa miezi mitatu na wanatakiwa kuripoti makambini kuanzia tarehe 01 - 05 Juni 2016.
Vijana waliochaguliwa, wamepangiwa katika Kambi za JKT Rwamkoma – Mara, JKT Msange – Tabora, JKT Ruvu – Pwani, JKT Makutupora – Dodoma, JKT Mafinga – Iringa, JKT Mlale – Ruvuma, JKT Mgambo na JKT Maramba – Tanga, JKT Bulombora, JKT Kanembwa na JKT Mtabila – Kigoma.

Aidha, wahitimu wenye ulemavu wa kuonekana kwa macho (physical disabilities) wanatakiwa kuripoti Kambi ya JKT RUVU, iliyopo Mlandizi mkoani Pwani, ambayo ina miundombinu ya kuhudumia watu wa jamii hiyo.

JKT linawataka vijana hao kuripoti makambini wakiwa na nguo za michezo kama vile ‘track suit’, bukta, raba pamoja na nguo za kuzuia baridi kwa waliopangiwa kwenye makambi yenye baridi kama JKT Makutupora, JKT Mafinga, JKT Mlale, JKT Kanembwa na JKT Mtabila.
Mkuu wa JKT anawakaribisha vijana wote waliochanguliwa ili waweze kujiunga na vijana wenzao katika kujifunza uzalendo, umoja wa kitaifa, uhodari, stadi za kazi, stadi za maisha na utayari wa kulijenga na kulitumikia Taifa letu.  

Imetolewa na:
Kurugenzi ya Habari na Uhusiano
Makao Makuu ya JKT
Tarehe 20 Mei 2016


TANGAZO

MABADILIKO YA TAREHE YA KURIPOTI KATIKA MAKAMBI YA JKT KWA VIJANA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA JKT KWA MUJIBU WA SHERIA MWAKA 2016.

Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) linautangazia umma mabadiliko ya tarehe ya kuripoti makambini vijana wote waliohitimu kidato cha sita mwaka 2016 na kuchaguliwa kujiunga na mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria kwa mwaka 2016.

Taarifa ya awali kwa vyombo vya habari nchini ilianisha tarehe ya kuripoti kuwa ni tarehe 01 June hadi tarehe 05 Juni 2016. Tarehe hiyo imeafanyiwa mabadiliko badala yake vijana hao wanatakiwa kuripoti katika makambi ya JKT waliyopangiwa kuanzia tarehe 07 June hadi tarehe 10 June 2016 bila kukosa.

Atakayesikia tangazo hili amtaarifu na mwezie.

Imetolewa na:
Kurugenzi ya Habari na Uhusiano
Makao Makuu ya JKT
Tarehe 31 Mei 2016


Vikosi Walivyopangiwa Vijana kwa mujibu wa Sheria 2016 - KIDATO CHA SITA (FORM SIX) WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA JKT 2016.

Form Two Exams (FTSEE) - PAST PAPERS (Revision made simple)

National Examination Council Form two past papers, Past papers for revision form two, Revision made simple, Get past papers free, Necta past papers form two, form two necta past papers, form two past papers, form two national examination, Download form two past papers free!

necta past papers form two


Download Form Two Past Paper Exams Basic Math pdf from 2003 to 2014 here : 

  1. Basic Math - 2014 - Form 2
  2. Basic Math - 2013 - Form 2
  3. Basic Math - 2007 - Form 2
  4. Basic Math - 2006 - Form 2
  5. Basic Math - 2005 - Form 2
  6. Basic Math - 2004 - Form 2
  7. Basic Math - 2003 - Form 2
Download Form Two Past Paper Exams (FTSEE) pdf - NECTA PAST PAPERS here :

  1. Biology - 2015 - Form 2
  2. Biology - 2013 - Form 2
  3. Biology - 2011 - Form 2
  4. Biology - 2007 - Form 2
  5. Biology - 2006 - Form 2
  6. Biology - 2005 - Form 2

Download Book  Keeping - Form Two Past Paper Exams (FTSEE) - NECTA PAST PAPERS here :
  1. Book Keeping - 2014 - Form 2
  2. Book Keeping - 2013 - Form 2
  3. Book Keeping - 2008 - Form 2

Download Chemistry - Form Two Past Paper Exams (FTSEE) - NECTA PAST PAPERS here :

  1. Chemistry - 2013 - Form 2
  2. Chemistry - 2007 - Form 2
  3. Chemistry - 2006 - Form 2
  4. Chemistry - 2005 - Form 2
You might also : How to Study for Exams ?


Download Commerce - Form Two Past Paper Exams (FTSEE) - NECTA PAST PAPERS here :

  • Commerce - 2014 - Form 2
  • Commerce - 2008 - Form 2

Download English - Form Two Past Paper Exams (FTSEE) - NECTA PAST PAPERS here :

  • English - 2013 - Form 2

Download History - Form Two Past Paper Exams (FTSEE) - NECTA PAST PAPERS here :

  • History - 2011 - Form 2
You might also : How do top student study ?


Download Physics - Form Two Past Paper Exams (FTSEE) - NECTA PAST PAPERS here :

  1. Physics - 2014 - Form 2      Answers
  2. Physics - 2013 - Form 2
  3. Physics - 2012 - Form 2
  4. Physics - 2011 - Form 2
  5. Physics - 2010 - Form 2
  6. Physics - 2009 - Form 2
  7. Physics - 2008 - Form 2
  8. Physics - 2007 - Form 2
  9. Physics - 2006 - Form 2
  10. Physics - 2005 - Form 2
  11. Physics - 2003 - Form 2
  12. Physics - 2002 - Form 2
  13. Physics - 2001 - Form 2
  14. Physics - 2000 - Form 2

How do Top Students Study?

Anyone who stops learning is old, whether at twenty or eighty. Anyone who keeps learning stays young!

There has been a lot of research about how people learn and how they learn best in higher education contexts. There are thousands of theories and principles that have emerged over the years to attempt to inform and guide tutors, lecturers and learners as to how best to orientate themselves towards their education and their learning tasks.

How do Top Students Study?


Bellow is Part I on How top students study.

They Fight Back Against Forgetting

The moment you acquire new information is the moment that forgetting starts trying to take it away. Unfortunately, you can’t stop forgetting anymore than you can stop wind from blowing. But you can fight it back, this is what top students do, reinforcing what they have learned and strengthening their memories in the face of forgetting’s relentless attack.

Top Students Retain Information

There’s a battle going on in the brain. You may not always be aware of it, but your memory is under constant assault from forgetfulness, the  biggest single enemy of your academic success. Forgetting works both massively and rapidly to undo learning. In fact, research has shown again and again that when you learn something new you are likely to forget most of it in a matter of days.

In one experiment, people  who read a textbook chapter, forgot 46 percent of their reading after one day, 79 percent after fourteen days, and 81 percent after twenty-eight days.

Although reading is forgotten quickly, the rate of forgetting for things you hear occurs even faster. This has to do with the way the short-term or working memory is designed. All new information passes through working memory before some of it is sent on to more permanent storage in your long-term memory. Your working memory essentially has two front doors. There’s an entrance for the things you see and another for the things you say or hear. Solid evidence suggests that when you read words in a book, you are both seeing and hearing them at once. Images of the words combined with the sounds of those words that you hear in your “inner ear” makes the memories stronger.

The best way to make memories stick, the best way to move what you have learned from your working memory to your long-term memory is through rehearsal. The word rehearse comes from an old French  word that means “to plow again.” Each time you repeat or rewrite what you’ve read or heard, you’re rehearsing it; you are deepening and strengthening its memory trace, this is How Top Students Study. If you plow deeply, it should last. But if you only plow a shallow path, it can vanish in the first heavy wind or driving rain. It’s the same with unrehearsed information.

Top Students Make an Effort to Remember

Memory is not automatic. To remember something, you have to make a conscious effort to learn it. Even if you do learn new information, it won’t stay with you very long unless you’re convinced that it’s worth hanging on to. Your initial effort determines whether you’ll remember what you’ve heard or read for a lifetime or forget it in a matter of seconds.

Top Students Avoid Pseudo-Forgetting

Whenever you cannot remember a name, a telephone number, a fact, an idea, or even a joke, it’s quite natural to say, “I forgot.” Yet forgetting may have nothing to do with your problem. You may never have learned the information in the first place. This phenomenon is known as pseudo-forgetting. The  word pseudo means “false” or “phony.” The best thing you can do to improve your memory is to pay close attention to the things you want to remember, this is what Top Students do to make what they have learned stick.

If an idea or a fact is to be retained in your memory for any length of time, it must be impressed on your mind clearly and crisply at least once. A record of that idea or fact must be laid down in your brain before you can truly recall or forget what you’ve learned. You can create this record by jotting the new information down or by repeating it aloud. If you are accustomed to meeting a lot of new people, perhaps you already know the technique of repeating the name of the person to whom you’ve just been introduced. Instead of saying “Pleased to meet you,” you say “Pleased to  meet you, Mr. Ben.” This approach is not only personable, but it also provides an easy way to counteract pseudo-forgetting.

TIPS FOR TAKING TESTS/EXAMS

  1. Look over the entire  test - know how much each question is worth and budget your time accordingly. Check the clock every 10 minutes to insure you will not be caught off guard and run out of time. If necessary, put your watch on the desk in front of you.
  2. Answer the easiest questions first - Put a check by those that are harder and return to those questions last. Otherwise, you will waste valuable time and miss answering the easier questions. Place another line through the check when you complete the harder questions.
  3. Underline key words in the question -  Make special note of negative words like "not." Feel free, however, to ask for clarification from your instructor if the question is vague or unclear.

How to Study for Exams - How to prepare for exams

How To Study - Studying for Exams

Here are some tips on studying for exams.  
Grade "A" is a result, Grade "F" is a result, wealth is a result, health is a result, illness is a result, your weight is a result, whatever you get at the end of your learning will be the result of what you planted in the process of your learning. We live in a world of cause and effect.

How to Study for Exams


  1. Start on Day One. You should always be studying for the next exam. Do a little each day, or at the very least start studying 2 – 3 days before the exam. Do NOT start studying the night before the exam. Cramming, while a time honored college tradition, just doesn’t work as well as spending time each day studying, especially with a math class.
  2. Get a Good Night’s Sleep. Get a good night’s sleep the night before the exam. It is important to be well rested and mentally sharp when you take the exam.
  3. Make a List of Important Concepts/Formulas. Review your notes and make a concise list of important concepts and formulas. Make sure you know these formulas and more importantly how to use them!
  4. Rework Homework Problems. Do not just read over the homework problems. Actually rework them. Writing down the steps will help you to remember them. Make sure that you try to do the problems without looking at the solutions.
  5. Rework Book/Notes Examples. Cover up the solutions to book or note examples and try to rework them. When looking for problems from the book don’t forget that most books have a review section at the end of each chapter that usually contains more problems.
  6. Look for Identifying Characteristics in Problems. While doing your homework you knew which section it came out of. This provided some clues as to the solution process. During an exam you won’t have this to help you. So, while reviewing your homework look for identifying characteristics that will give you clues on how to identify that kind of problem.
  7. Take a Practice Exam. Find some problems and treat them a practice test. Give yourself a time limit and don’t use your notes or book.

And Let this be your slogan:- “What you hear, you forget; what you see, you remember; what you do, you understand.” 

I Wish You Well In Your Forthcoming Exams.